KIGWANYA
Member
- Apr 14, 2016
- 81
- 103
Kijana huyu wa Bavicha hajasikika kabisa tangu alikua amekamatwa na polisi kwa uchochezi wakutaka kuzuiya mikutano ya CCM kule Dodoma.
Na mbwembwe zake zote sasa hivi Kimyaaaaaa! kweli JPM amewakata pabaya Bavicha na CDM yao kama hawapoo! wamebaki wachochezi wachache mitandaoni.
Mungu jalia hata hawa wa mitandaoni wapotee kama Ole sosopi.
Na mbwembwe zake zote sasa hivi Kimyaaaaaa! kweli JPM amewakata pabaya Bavicha na CDM yao kama hawapoo! wamebaki wachochezi wachache mitandaoni.
Mungu jalia hata hawa wa mitandaoni wapotee kama Ole sosopi.