Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,388
- 4,717
Habari wapenzi na mashabiki wa jukwaa hili pendwa.
Naomba kuuliza alipo kijana Kheri James, moja ya vijana mahiri wenye ushawishi mkubwa wa siasa hapa Tanzania kwa mujibu wa jarida fulani.
Mara ya mwisho kumsikia huyu kada wa CCM ni alipoomba radhi kwa watanzania aliowakosea kwenye kutekeleza majukumu yake na kuomba kuanza ukurasa mpya wa mshikamano kwa watanzania.
Pia alikuwa mahiri kwenye kufanya ziara za hapa na pale. Nashangaa sijamuona kwenye harakati hasa kwenye chaguzi ndogo za majimbo mawili kule Kigoma.
Naomba tujuzane aliipo komredi Kheri James.
Naomba kuuliza alipo kijana Kheri James, moja ya vijana mahiri wenye ushawishi mkubwa wa siasa hapa Tanzania kwa mujibu wa jarida fulani.
Mara ya mwisho kumsikia huyu kada wa CCM ni alipoomba radhi kwa watanzania aliowakosea kwenye kutekeleza majukumu yake na kuomba kuanza ukurasa mpya wa mshikamano kwa watanzania.
Pia alikuwa mahiri kwenye kufanya ziara za hapa na pale. Nashangaa sijamuona kwenye harakati hasa kwenye chaguzi ndogo za majimbo mawili kule Kigoma.
Naomba tujuzane aliipo komredi Kheri James.