alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kwa kadhia hiyo nimegundua vijana wengi humu wanasajiliwa kwa sababu na maslahi ya vyama vya Siasa.
Toka juzi kiongozi fulani wa Chama hicho ananisumbua kutaka nisajiliwe huko.Pamoja na kwamba siwezi na haitatokea bado analeta ushawishi mda wote.
Itoshe kukueleza ndugu Kiongozi mimi sihamishwi kirahisi hivyo.Na kama ni thamani yangu kwa sasa ni sawa na ilivyo kwa BEKI KISIKI LAMINE MORO WA YANGA KWENYE TIMU YAKE!
Kwa hiyo pambaneni na hali yenu!
Toka juzi kiongozi fulani wa Chama hicho ananisumbua kutaka nisajiliwe huko.Pamoja na kwamba siwezi na haitatokea bado analeta ushawishi mda wote.
Itoshe kukueleza ndugu Kiongozi mimi sihamishwi kirahisi hivyo.Na kama ni thamani yangu kwa sasa ni sawa na ilivyo kwa BEKI KISIKI LAMINE MORO WA YANGA KWENYE TIMU YAKE!
Kwa hiyo pambaneni na hali yenu!