Habari zenu wadau?
Hivi kuna Mtanzania ambaye ameshapata kitambulisho cha Utaifa tangu mchakato uanze?
Kama ndio nijulisheni yafuatayo.
1.kina muda wa kuisha?
2.Umri wa kupewa huanzia miaka mingapi?
3.pindi ukipoteza wapi unapata kingine kipya?
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilianza kutoa Vitambulisho vya Taifa kwa wafuatao:
1. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.
2. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt.Emmanuel Nchimbi.
3. Rais Mstaafu awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi.
4. Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa
5. Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume
6. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad
7. Kada wa CCM Mzee Kingunge Ngombale Mwiru
8. Askofu Malasusa wa KKKT
9. Shekhe Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Alhaj Elihad
10. Mwenyekiti wa CUF Professa Ibrahim Lipumba
11. Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt.Ramadhani Dau
12. Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana William Eriyo
13. nk...
Mwonekano wa Mbele