Yupi rafiki wa kweli?

Yupi rafiki wa kweli?

Tatizo sigala

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
45
Reaction score
5
Siamini macho yangu, kama kwel heshima, utu, aman na upendo kama vinaweza kuwa kutu tena isiyoweza futika moyoni mwangu. Rafiki yangu kala mzigo kwa demu wangu ambae ni shemeji yake na yeye akiwa na mke na watoto wawili, kweli huu ni utu wadau?
 
Mmmh..! Mbona unatoa shutuma kwa rafiki yako peke yake..!

Huyo mpenzi wako unaona kafanya sahihi??
 
posibo, lkn mwanamke ni sawa na bendera!

Hakuna kitu kama hicho..! Ni huyo tuu mpenzi wako hana adabu na ameshindwa kukuheshimu mpaka akatembea na rafiki yako...! Kwa kifupi wote wana makosa ila mimi namlaumu zaidi mpenzi wako..!!
 
Mpz wako ndio tatizo kubwa hakujiheshimu kwa shemeji yake ndo maana akakubalina pia inawezekana hana mapenzi ya that kwako ndo maana kaamua kufanya hayo.
 
mi naona demu wako ndo hamnazo kuliko huyo rafiki yako over.:coffee::coffee:
 
Kwan huyo mpenz wako alibakwa au alikubal mwenyewe?
 
Back
Top Bottom