Tatizo sigala
Member
- Jan 27, 2013
- 45
- 5
Siamini macho yangu, kama kwel heshima, utu, aman na upendo kama vinaweza kuwa kutu tena isiyoweza futika moyoni mwangu. Rafiki yangu kala mzigo kwa demu wangu ambae ni shemeji yake na yeye akiwa na mke na watoto wawili, kweli huu ni utu wadau?