Yupi msanii wako bora wa hip hop Tanzania unayemkubali na kwanini huyo na si wengine??

Sema kabadilika saana
Kwa kiasi flani kabadilika ila Yeye anajiita Baba lao la style Tofauti,hata Songa naye.

Mwanangu Nash Mc a.k.a Maalim,Nash dagama,Nash Zuzu,Nash Misimamo Kuna ngoma yake anasema Solo na pesa vinawatesa ndio maana wasanii wengi wanachekesha-Soko na Pesa.
 
hip pop ni kuongea ukweli...

nay wa mitego ndio best hip pop artist in tz
Mkuu,
Ney wa mitego anaimba vitu vilivyo Uch* sana.

Katika orodha ya kumi bora hip hop hawezi hata kufikiliwa na watu wa hip hop.
Anyway Watu hatufanani kama alama za vidole.
 
Nilivosoma hii komenti nimetamani Kulia,

Mungu akusamehe kwanza, pili tafuta ngoma za JCB afu kaa uzisikilize.. Zile za maisha ya kitaa, zile za bata, zile za mapenzi, na zile za unjanja ujanja wa kila siku.

JCB ni shule kubwa sana mdogo wangu.
Haha labda utamani kulia kwakua umekutana na ukweli na ukweli ni mchungu.
Jcb makalla nimemsikiliza kwenye ngoma kama tatu hivi na imetosha kuniambia uwezo wake maybe nahitaji kumsikiliza tena ila hata kwenye top20yangu siwezi mueka ila simaanishi kua si mwanaharakati maana tusije tukaelewana vibaya hapa,
Jamaa na nakubalia sana harakati zake na mchango wake kwenye game ya hiphop bongo
 
Kama Leo naforce budget ya usiku wa kesho before the night force kuifanya siku special usiku UK a pita kwa vita dhid ya usingiz na vita visivyo isha na tishw na jinamiz...nick mbish so wanchii
 
Umeandika mengi sana kaka mkubwa ila kwa kifupi ni hivi jamaa ni mwanaharakati kweli na mkongwe kwenye hiphop ila uwezo wake wa uwasilishaji si mkubwa kwa kiasi unachozungumza wewe
Hem nitajie ngoma tatu kali za makalla ulizoziskiliza nami nikamtegee sikio labda ntaona hicho unachokiona wewe
 
"Leo nitam'Baka Mama yako ili ujifunze kutunza siri"

Huwa nikifika hapo wakati nasikiliza nacheka sana,
Aisee zohan, nzwangedaba,voice of the voiceless au Majina kibao yupo vyema mno anatisha.
Hahahaha Zohan hua na mistari ya kukufanya ucheke ila hapohapo unapata funzo, uwasilishaji wa hivi wanao wachache sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…