Yupi mkali kati ya Rapper na MC?

Yupi mkali kati ya Rapper na MC?

omaey ashiru

Member
Joined
Dec 8, 2020
Posts
42
Reaction score
33
Wadau huwa najiuliza hivi yupi mkali Kati ya rapper na mc na wana tofauti gani ila nakosa majibu Sasa naomba 2discuss

Vita-ya-Benghazi-1.jpg
young-killer.jpg
 
Kwa ninavyo elewa MC (master of ceremony) ni msemaji au msema chochote/lolote huyu mara nyingi utamkuta kwenye sherehe...na tukija kwa Rapper huyu ni anayefanya kazi ya "kurap''(muziki wa kufokafoka)...wa kwanza(MC) ni mshehereshaji wakati wa pili(Rapper) ni mwanamuziki ...ijapokuwa Rapper anaweza kufanya kazi ya MC wakati MC hawezi kufanya kazi ya Rapper....ni kama Mwasibu hawezi kufanya kazi ya Mkaguzi (Auditor) wakati Auditor anaweza kufanya kazi ya Mwasibu....ila ni vitu viwili vinaendana lakini havifanani...
 
MC, anavitu vyote ambavyo rapper anavyo, na sio kinyume
MC mfano nash MC, nyenza MC, Fid Q

Rapper mfano youg D, Mr blue

Anaanza MC ndio anakuja rapper

MC wanaishi kwenye misingi 5 ya hiphop

Rapper just ana rap tu,

Huwezi kumuweka kundi moja FID Q na YOUNG D
kitu anachofanya young D fid Q anakiweza, ila anayofanya fid Q young D ataishia kumuangalia tu na kumpigia makofi
 
MC, anavitu vyote ambavyo rapper anavyo, na sio kinyume
MC mfano nash MC, nyenza MC, Fid Q

Rapper mfano youg D, Mr blue

Anaanza MC ndio anakuja rapper

MC wanaishi kwenye misingi 5 ya hiphop

Rapper just ana rap tu,

Huwezi kumuweka kundi moja FID Q na YOUNG D
kitu anachofanya young D fid Q anakiweza, ila anayofanya fid Q young D ataishia kumuangalia tu na kumpigia makofi
Oukay
 
MC, anavitu vyote ambavyo rapper anavyo, na sio kinyume
MC mfano nash MC, nyenza MC, Fid Q

Rapper mfano youg D, Mr blue

Anaanza MC ndio anakuja rapper

MC wanaishi kwenye misingi 5 ya hiphop

Rapper just ana rap tu,

Huwezi kumuweka kundi moja FID Q na YOUNG D
kitu anachofanya young D fid Q anakiweza, ila anayofanya fid Q young D ataishia kumuangalia tu na kumpigia makofi
Umechambua vyema mkuu kwa wenzetu majuu unaweza sema 50cent ni Rapper, lakn Mos Def ni Mc yah Mc anaweza fanya vyote anaandika anafanya freestyle,na anaflow pia kwa upande wa pili kuna marapa wanarapu tuu lakin hawajui kuandika hawajui kufreestyle
 
Umechambua vyema mkuu kwa wenzetu majuu unaweza sema 50cent ni Rapper, lakn Mos Def ni Mc yah Mc anaweza fanya vyote anaandika anafanya freestyle,na anaflow pia kwa upande wa pili kuna marapa wanarapu tuu lakin hawajui kuandika hawajui kufreestyle
Katika chimbuko la hiphop, kulikua na MC tu,
Baadae wakaibuka hawa rappers, na maadhi ya MC muda mwingine wanaamua ku-rap kwa sababu za kibiashara na pesa

Lakin wakaendelea kuibuka wengine wakijiita commercial hiphop, Trappers,..


Hadi mtu anaitwa/anakuwa MC inabidi heshima iwepo
 
Kwa mimi nadhani MC ni msanii wa Hip Hop ambae anaweza kufreestyle kitu chochote hapohapo ambacho atambiwa a freestyle kwa wakati huo na mahali popote iwe kwenye interview or kwenye shows... mfano wa MC kwa Tanzania ni: Nikki mbishi, Marehamu Ngwea na GodZilla R.I.P... Fid Q , Nash MC nk.

Lakini Rapper yeye anauwezo na kuchora tu (kutunga) nyimbo pia anaweza hata kuimba lakini hana uwezo wa kufreestyle kama MC wote ni wanaitwa wana Hip Hop.. mf Rapper ndio kama hao Dogo janja, GNako, Darasa, JohMakini Young D nk..
 
Back
Top Bottom