Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,747
- 12,462
Akalie kichwa ndo atajua umuhimu wa makalio
Akalie kichwa kipi dada
Akalie kichwa ndo atajua umuhimu wa makalio
Akalie kichwa kipi dada
Mbona unamtafutia tabu mvulana wa watu????
Yupi bora kati ya mke ama ndugu?!
Kuna bro wangu mmoja swala la ndugu usimwambie kitu yupo radhi amtimue mkewe anasema ndugu zake wamwachie lakini kuna bro mwingine anasema habari ya mke wake na familia yake ndugu wasiingilie wala wasimpangie wamwache na maisha yake na mkewe.?
ha ha ha.....haaaaaaaaaaaa labda kihivi nimeelewa ila kule mhhhhhh!!!! angesulubikaHii sentensi naona ni ambiguous lol, akae kwa kutumia kichwa hivo ndo nimemaanisha ha ha ha
Akalie kichwa ndo atajua umuhimu wa makalio
Wote ni wa muhimu kwa nafasi tofauti ila Mwanaume anapaswa kutenga muda mwingi zaidi kwa mkewe kwsbb hata maandiko yanasema "Utaachana na Wazazi wako nawe Utaambatana na mkeo "
swali la kib.wege kweli,,,kwa nn unawachunguza kaka zako? kwanza kaka unao peke yako? afu then google nani bora...