Yule mwizi wa ATM ndo huyu

Yule mwizi wa ATM ndo huyu

Anaitwa Lusajo nani? Tusake picha zake na kumuanika! Wanaotetea humu ni wezi wenzie, pili ujue mambo ya teknojia ndugu zetu wengi hawaijui! Mwalimu anakuja mjini ATM mwisho wa mwez tu, je atajua kuna wizi mjini
Tena PIN inahifadhiwa kwenye ki- note book
 

Jamaa huyu anachofanya hasa kwa wanawake ni kujidai anawasaidia kuhandle card ila ukiangalia vizuri haichomeki bali anabaki nayo mkononi na anasimama hapo karibu. wewe ukijua kadi iko ndani unaweka PIN akishaona pin anaondoka zake anaenda ATM ya mbele anakomba hela zote...

Be alert kadi yako asiguse mtu na uwapo ndani ya ATM machine ukiona kuna mtu humuelewi toka nje mwache amalize shughuli zake ndo na wewe uingie. pia jitahidi kumaliza shughuli za kibenk mapema mapema hasa ATM usipende kuingia usiku kwani kuna vijana nao kazi zao ni kukifuatilia ukishatoka na wakifanikiwa kukubana wanachukua ulichotoa.

STAY SAFE.
 
Anha..vizuri yaani anajisachisachi tu muda wote....hili ukiliona tu moja kwa moja linaonekana ni lijizi
 
Back
Top Bottom