Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,032
Kuna wachezaji Wengine sijui wanafanya nini uwanjani, Mtu anaruka ruka tu dakika zote haeleweki anataka kufunga au anataka kukaba
Huyo Mugalu ndio maana alipigwa kadi nyekundu South kwa Orlando
Sasa pale South alikuwa anataka kumvunja mtu katikati ya uwanja alikuwa anawaza nini kichwani?
Hivi Simba huyu mtu mmemsajili kama Beki au Straika maana anaruka ruka tu uwanjani
Huyo Mugalu ndio maana alipigwa kadi nyekundu South kwa Orlando
Sasa pale South alikuwa anataka kumvunja mtu katikati ya uwanja alikuwa anawaza nini kichwani?
Hivi Simba huyu mtu mmemsajili kama Beki au Straika maana anaruka ruka tu uwanjani