Kuna mawaziri kama wanne ni wagonjwa sana...
JESHI tayari limetoa tahadhari juu ya hatari iliyo mbele ya taifa kwa AmiriJeshi , na imempa mapendekezo kadhaa hasa baada ya hali kuendelea kuwa mbaya , tayari kuna mabrigedia jennerali kama sita wali active na wastaafu wamefariki ndani ya hizi wiki mbili za second wave ....na kuna maafisa wa juu na maafisa wengi tu wako hoi , wakiwamo pia maafisa wa hadhi hiyo wa TIS
ANATAKIWA KUCHUKUA HATUA BEFORE IT IS TOO LATE ASIJIFICHE KUNYE KUKANA TATIZO