Yuko wapi Waziri Mkuu Mizengo Pinda?

Yuko wapi Waziri Mkuu Mizengo Pinda?

Chezea chozi la mtu mzima tena mwanaume?!yuko kijijini kwake kibaoni anaugulia kwa kutoaminika na boss wake waliofanya wote kazi kwa zaidi ya miaka 8

jk si aliekuwa anachagua,wale wazee wanne nao kuna vigezo walifuata.pengine waliona pinda itakua ngumu kumpiku dr slaa,kuna vigezo lazima walitumia,sio kila aliyekatwa hana maadili.

pinda alikua mzuri sana,lakini je angeweza kuyapangua makelele ya silaa ambayo watu wenye upeo mfupi huyaona ni point?.

kitendo cha mbowe kumkata dr slaa na kumnyakua lowasa ambae alikua ameandaa chama chake cha ACT kama plan B, Kilitokana na ccm kumteua magufuli awe mgombea na ikaonekana itakua ngumu kwa slaa kumshinda magufuli,ndo wakaona wajilipue na lowasa.


kwahiyo sikweli kuwa kila alieachwa hakua a maadili
 
Habari wakuu,

Tangu uteuzi wa watia nia wa urais kupitia CCM umalizike na yeye kukatwa, hajaonekana tena wala kusikika. Hata TBC wakimuonesha kwenye mashamba ya zabibu hakuna. Je, yuko wapi?

mapumziko mafupi ya heka heka za uchaguzi
 
Ni ngumu kumeza pale waziri mkuu ambaye amekuwa akijibu maswali ya papo kwa papo Bungeni na kuonekana kuwa na busara tele, kumbe hana kabisa maadili na sifa ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi; wakati katiba inampa nafasi endapo Rais hayupo nchini.

kazidiwa Uadilifu na January Makamba,
 
Namuona yuko Touchscreen hapo sijui ana log in JamiiForums?

Nilidhani Anakitabu Anasoma Bible Kumbe Ni Simu? Kwangu Mimi Namuona Ni Muadilifu Sana Sasa Sijui Vigezo Vilivyotumika, Sijawahi Kumsikia Anatuhumiwa Kwa Makosa Yoyote Yale Ya Ubadhirifu,
 
attachment.php
1.jpg
Z
Bilal kama alionja hiki kitu awezi acha teh teh teh.....
 
Nilidhani Anakitabu Anasoma Bible Kumbe Ni Simu? Kwangu Mimi Namuona Ni Muadilifu Sana Sasa Sijui Vigezo Vilivyotumika, Sijawahi Kumsikia Anatuhumiwa Kwa Makosa Yoyote Yale Ya Ubadhirifu,

Tanzania ukiwa Muadilifu sana ni tatizo, hasa ndugu zako watakujia juu ona sasa Umetumikia Taifa miaka yote lakini unakufa maskini, yaani ulishindwa hata kuiba utuletee ndugu zako?
 
Wacha porojo! Nunua Nipashe ya Leo iko picha Pinda na Meck Sadik wakimpokea JK jana akitokea Australia. Msiendekeze habari zisizo na mbele wala nyuma.
 
Hata ungekuwa wewe usingekubali waziri mkuu hata tano bora humo??ndio maana alilia sana wala hakutaka kufarijiwa na mtu kama yule Rahel wa kwenye Biblia,itoshe tu kusema ccm sio tu hufanya rafu kwa vyama mbadala ila hata wao kwa wao hufanyiana rafu kama tulivyoona kwenye kura za maoni.
 
Juzi nimepishana naye jioni akitokea kwake Pugu Mwakanga.
 
Back
Top Bottom