Yuko wapi Waziri Bashe, atupe Mrejesho wa BBT?

Yuko wapi Waziri Bashe, atupe Mrejesho wa BBT?

si walisema anaumwa ama ameshapona..?
 
Hii thread asije tu kuiona yule dalali wa rasilimali za taifa aka tumbili atakuja na andiko la page kumi kupongeza chura kiziwi alivyowezesha vijana wa kitanzania milioni kumi kujiajiri kupitia BBT ikiambatana na mapambio, nyimbo za kusifu na kuabudu kede wa kede.
 
Anakula mema ya nchi....
Amegundua ukila na kipofu usimguse mkono.....
 
vijana wanaendelea na kazi mashambani huu ndio muda kazi zinakua mara kumi ya msimu wa kiangazi ndugu hivyo kimya kingi kina mshindo
 
ililetwa humu picha ya mahindi yakiwa hayana hali nzuri sasa sijui ni yakweli ama si yakweli...😠
 
vijana wanaendelea na kazi mashambani huu ndio muda kazi zinakua mara kumi ya msimu wa kiangazi ndugu hivyo kimya kingi kina mshindo
Tupiamo na kapicha au video,au hakuna mitandao huko,maana ninavyowajua vijana wa CCM ingekuwa ndiyo Kiki yao
 
Kabla Ya Hilo Kwanza Bashe Mwenyewe Kaishia Wapi? Naamini Tukimpata Bashe Alipoishia Na Mradi Tutaupata Tu Itakuwa Kaishianao Nao Tu.
 
Hii thread asije tu kuiona yule dalali wa rasilimali za taifa aka tumbili atakuja na andiko la page kumi kupongeza chura kiziwi alivyowezesha vijana wa kitanzania milioni kumi kujiajiri kupitia BBT ikiambatana na mapambio, nyimbo za kusifu na kuabudu kede wa kede.
We bwege huna uhalali wa kumwita binadamu mwenzako tumbili kisa we hujapata hiyo fursa
 
vijana wanaendelea na kazi mashambani huu ndio muda kazi zinakua mara kumi ya msimu wa kiangazi ndugu hivyo kimya kingi kina mshindo
Hao wapumbavu wao hushinda mitandaoni mara pap kushtukia wenzao ni matajiri, wao kila siku ooh CCM sijui imefanya nini, hakuna chama kitakuletea mkate wala kukutajirisha. Ndio maana tunayaita nyumbu.
 
Waziri Bashe, mwaka 2025 Huu, vipi Vijana bado wako mafunzon?
FB_IMG_1707597550375.jpg
 
Hii thread asije tu kuiona yule dalali wa rasilimali za taifa aka tumbili atakuja na andiko la page kumi kupongeza chura kiziwi alivyowezesha vijana wa kitanzania milioni kumi kujiajiri kupitia BBT ikiambatana na mapambio, nyimbo za kusifu na kuabudu kede wa kede.
Leo nimesikia clip Moja akisema eti watawafu disha na nchi zingine waige BBT ndio nikagundua ndio maana dogo alikuwa na jeuri kumbe alikuwa na nataka za mama yale
 
Back
Top Bottom