Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Non sense Mbunge yupo anapiga kazi kwa niaba ya watu wa Chalinze umekosa cha kufanya leo asubuh unaanza umbea umbea na majungu ya kuzungumzia watu. Stop negligence
 
Non sense Mbunge yupo anapiga kazi kwa niaba ya watu wa Chalinze umekosa cha kufanya leo asubuh unaanza umbea umbea na majungu ya kuzungumzia watu. Stop negligence
Mkuu vipi tena unarusha ngumi hewani?
 
Jaribu kwenda Chalinze, facebook, Istagram na Twiter huko pia hakosekani, au unahamu tu kusikia akisemwa ya kweli na ya uongo? MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI...au Mange tu akiongea ndo awe na ushahidi nyinyi mkiongea muaminiwe, msitujazie server.
 
Jaribu kwenda Chalinze, facebook, Istagram na Twiter huko pia hakosekani, au unahamu tu kusikia akisemwa ya kweli na ya uongo? MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI...au Mange tu akiongea ndo awe na ushahidi nyinyi mkiongea muaminiwe, msitujazie server.
Ujumbe huu umeletwa kwenu kwa hisani ya Lumumba Buku 7
 
Hapa sasa kama atafungua kibuyu atatambua kwamba ya kale yalikua maovu...God blec Mh. JPM.! Salutii
 
Yupo Chalinze!! Ulitaka awe wapi mkuu ili uridhike? Njoo ofisi za jimbo chalinze utamuona!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…