Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,124
- 282,783
Yuko mbioni kuachia ngazi .Kabla uchaguzi mkuu mwaka 2015 Katibu Mkuu wa CCM Abdrahman Kinana alifanya ziara ya kuzunguka nchi nzima kuona kero za wananchi.
Kuna umuhimu sana kwa Katibu huyo wa CCM kufanya ziara nyingine ili atathimini mwaka mmoja wa serikali ya awamu ya tano madarakani.
Hii itampa hali halisi ya nchi chini ya utawala serikali ya CCM.