Yuko wapi mwanaCCM Ismail Aden Rage?

Mjomba yote hayo nayafahamu bali hayawezi kuficha ukweli kwamba Rage alifungwa kwa wizi wa vitu vya hovyo sana pale FAT

Kwa kuongezea , ni kwamba nazifahamu pia njama zake za kujisafisha ili aweze kugombea ubunge .

Mwisho - Nakushukuru kwa kunifahamisha uraia halali wa Agostino Mrema
 
Yupo nasikia anataka kugombea uongozi wa ile timu aliyoiita ya Mbumbumbu
 
Kwa watu wa Dar wa miaka mingi huyu ni mwanachama wa 'Saigon sports club',ni klabu ya watu wambeya na wa fitna kwa sana,kwa hiyo ni halali kabisa kuitwa mtu wa hovyo hovyo kwa mtazamo wangu
 
CCM ikikutumia huwa inakutupa kabisa , alishapigwa chini kitambo tu , na hii iwe fundisho kwa vijana wengine wachumia tumbo , kwamba usimpuuze Mungu kwa sababu ya ccm .
Ulichoandika juu ya Mr. Rage ni zaidi ya siasa. Ni chuki za kipumbavu sana juu ya mtu ambaye pengine hakujui na humjui pia. Ni kitu gani kikubwa alikufanyia mpaka uanze kubwabwaja juu ya uccm na ubunge wake wa zama hizo. Acha upuuzi wa kufikiri unaweza kuanzisha chochote kwa yeyote na ukafikiri unaweza kupata credibility kwa kufanya upuuzi.
 
Hiyo #8,hahahaaa asante mkuu.
 
Pole sana mkuu , unajua tunapoandika humu tunatambua kwamba hawa tunaowaandika wana wategemezi wao , wana watoto nk , ila sasa hatuangalii hayo , tunachoangalia ni ukweli wa jambo .

Hakuna asiyejua alichochangia Rage bungeni kwa miaka mitano (maana bunge lilikuwa live ) , hakuna asiyejua kwamba Rage alifungwa kwa wizi akiwa Katibu wa FAT , na hakuna asiyejua kwamba alipewa msamaha wa Rais baada ya afya yake kuzorota gerezani kutokana na ugonjwa wa kisukari , wala hakuna asiyejua kwamba alifanya siasa za kishamba za kupiga na kujeruhi wapinzani .

Unapopinga mambo kama haya unapaswa kuja na kanusho lenye vielelezo , vinginevyo utadhalilika vibaya sana !
 
Mzee wa bunduki kiunoni


In God we trust
 
Atakuwa kaamua kufunga domo lake maana anawashuhudia kina malinzi na aveva wanavyo pambana na hali zao

In God we trust
 
CCM ikikutumia huwa inakutupa kabisa , alishapigwa chini kitambo tu , na hii iwe fundisho kwa vijana wengine wachumia tumbo , kwamba usimpuuze Mungu kwa sababu ya ccm .
Salaam zimfikie jamaa yetu Hapie

In God we trust
 
M Mkuu mbona unamshambulia kwa nguvu?
Hakuna binadamu aliekamilika isipokuwa Muumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…