Mr Gratitude
Member
- Aug 8, 2020
- 48
- 66
Nimesahau jina lake mtanisamehe kidogo ila kiufupi Huyu jamaa alikua anafundisha Vipindi vya dini (katoliki) katika shule mbalimbali za sekondari, alikua na uwezo mkubwa sana wa kufundisha na kucheza na saikolojia za wanafunzi, Hakuna swali ambalo halikua hawezi kujibu , kulikua kichwa Fulani kimesoma sana sayansi.