Yuko wapi Msemakweli Kainerugaba?

Habari wakuu kwa yeyote anaefahamu alipo mwandishi wa vitabu MAFISADI WA ELIMU 1&2 Bwana KAINERUGABA MSEMAKWELI
ni miaka sijamsikia ndugu huyu
 
Aliyepo karibu na huyu mwamba amjulishe kuwa tunasubiri toleo lingine maana wameongezeka mpaka wemeanza kuparurana huko.
 
Back
Top Bottom