Young Warlock
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 328
- 112
Jamani mwenye kufahamu alipo mbunge wa bukoba mjini na waziri wa maliasili na utalii aliyejiuzuru Mh. Balozi Hamis Kagasheki atujuze cz mara zote mbili alipoitwa kwenye upigaji kura BMK amekua hayupo na jina lake halipo kwenye orodha ya wajumbe walio nje ya bunge kwa ruhusa ya mwenyekiti....
Anayefaham jamani,
Anayefaham jamani,