Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,223
- 998
- Thread starter
-
- #21
Kama ana hatia apelekwe. Vinginevyo tunassume kwamba jpm kama alivyofanya mbowe kamatakasa na shutma zote za ufisadiAnamwogopa jpm balaa, ana wasi wa kupelekwa mahakama ya mafisadi
Juha tena mkuu?Ameyaacha majuha yaendelee
Trailer ya sembe inakaribia kwisha aseme kituYupo kwake kapumzika na familia yake.
Vp mkuu una lipi nimfikishie ?
Ok.YUPO KENYA NADHANI KUNA ZIARA MAALUM ANAIFANYA, NILIPISHANA NA MSAFARA WAKE JANA PALE NAMANGA .
Hapo sasa ndio mshangao. Bila shaka inamtakasa na makosaTuishangae serikali yetu pendwa kwanini haimpandishi kizimbani.. Au inamlinda?
Kisiasa tuhuma ni kitu kizito kinachoweza kubadilisha upepo kabisa. Hujui mkuu?Kauli yake ya nini? Ushasema katuhumiwa na hakuna ushahidi na mbowe kashawajibu hafanyii kazi wito wa mpumbavu! Mkiweza mkamkamate wenyewe ila uzuri filamu limeisha maana wale waliogoma kuja ndio ishapita ivo poleni
Akili yangu nyembamba haifahamu methali. Fafanua mkuuMaji ya shingo chezea......
Trailer ya sembe inakaribia kwisha aseme kitu
Tulijua ni siasa za maji machafu ndio maana wenye akili tulimpuuza nyie kama mnaamini makonda anaakili sawa sawa poleni muulizeni gwajimaKisiasa tuhuma ni kitu kizito kinachoweza kubadilisha upepo kabisa. Hujui mkuu?
Sherehe zake?Hata Sherehe zake za Mwaka Mpya mwaka huu kazikaushia
Sherehe zake?
Umesahau nn tena Mkuu kwa edoNdio
Umesahau aliahidi nini kua akishindwa ataenda wapi na kufanya nini?Naona huyu Mzee anapotea kidogokidogo si kawaida kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye media. Yuko wapi. Sinema ya sembe imemalizika yeye kimyaaa.
Ana mkee wake halafu hana shida na siasa zenu za maji taka na uchwara wenuNaona huyu Mzee anapotea kidogokidogo si kawaida kukaa mda mrefu bila kuwa kwenye media. Yuko wapi. Sinema ya sembe imemalizika yeye kimyaaa.