Chuo cha mfunzo ya jeshi la magereza Kiwira kulikuwepo na Mkufunzi mmoja matata na mkakamavu kwelikweli alikuwa akifahamika kwa jina lake maarufu sana la SEITUNDU KAMANDA NGUVU YA NYANI. Huyu jamaa alikuwa mtata kwelikweli mwenye taarifa za huyu kinara aje atiririke.