Yuko wapi Kaka Man?

Wasanii wa zamani walikua unique sana hamna kuigana sema music ndio hivo ulikua haulplipi wote wakaukacha.

Kuna jamaa aliimba Akwelina na Juma Nature alikua na style ya kipekee, kuna Kali P, Yule mlevi, na mwamba mmoja aliimba Wanaokwenda Jela nae very unique.

Sema ndio hivo zama zime change wametuachia hawa majamaa kudadeq. Music hauna radha kiviiile sema mtu anaweza asikuelewe.
 
Wasanii wa zamani walikua unique sana hamna kuigana sema music ndio hivo ulikua haulplipi wote wakaukacha.

Kuna jamaa aliimba Akwelina na Juma Nature alikua na style ya kipekee, kuna Kali P, Yule mlevi, na mwamba mmoja aliimba Wanaokwenda Jela nae very unique.

Sema ndio hivo zama zime change wametuachia hawa majamaa kudadeq. Music hauna radha kiviiile sema mtu anaweza asikuelewe.
Siku hizi tunasema" mpelekee moto"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom