ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
Yuko wapi kaka man aliye hit na track ya KAMA NOMA NA IWE NOMA? Enzi za shimoni disco-morogoro
Siku hizi tunasema" mpelekee moto"Wasanii wa zamani walikua unique sana hamna kuigana sema music ndio hivo ulikua haulplipi wote wakaukacha.
Kuna jamaa aliimba Akwelina na Juma Nature alikua na style ya kipekee, kuna Kali P, Yule mlevi, na mwamba mmoja aliimba Wanaokwenda Jela nae very unique.
Sema ndio hivo zama zime change wametuachia hawa majamaa kudadeq. Music hauna radha kiviiile sema mtu anaweza asikuelewe.