Ndugu zangu wana Jf mnamkumbuka jembe huyu Tido Muhando? Sote tunakumbuka enzi za Radio Tanzania (RTD), na TVT. Sasa vyombo hivi vina sura mpya na muonekano mpya kabisa, hatutakuwa na fadhila katika hili bila kumkumbuka kamanda Tido Muhando. Ndugu zangu wana Jf nani anafahamu alipo jemedari huyu na anafanya nini? Na ni kipi kilichomkimbiza TBC.