Yuko wapi Jamal Malinzi?

Asipopita tena kuwa Rais wa TFF mwakani naachia ' haja kubwa ' pale Posta Askari Monument mchana kweupe tena nikiwa ' mubashara ' kabisa Mkuu.
Hahahahaa
Daaaah!!!
Kwa kweli ntasikitika sana, japo nakubali anaeeza pita
 
Saa hizi anapanga dili la kupiga hela za Simba na Yanga. Eti kasubiri mechi hii ndio afanye majaribio ya electronic tickets. Werevu washaelewa.
 
Wakoora waitu.. wasibhayomta.. jamaa kapigana hadi kiwanja cha kaitaba bukoba kimewekwa nyasi za bandia...shikamoo muhaya..safi sana..
 
Alijifanya yupo karibu na wadau akafungua hiyo account ili apewe ushauri..kilichofuata ndio akaikimbia mazima. ..kiufupi jamaa ni mbabaishaji namba moko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…