Jamani ndugu wana jf,hivi huyu mtangazaji wa Radio Free aitwaye Fredrick Bundala au Sky Walker yuko wapi?maana siku hizi simsikii akitangaza,je ameacha kazi au yuko wapi?
Yuko na wenzake watano, wameazisha online Radio ya kwao binafsi. Wanakimbiza ile mbaya.
Hebu wacheki hapa kwenye Tone Radio-tz. Kisha bofya hapo panapowaka ON AIR chini ya Listen Live.
Enjoy.
Anasoma masters ya mass com. saut pamoja na mwenzake kidboy,yahya mohamed na wengineo kwa hiyo yuko mwanza
sio kweli ... yupo huku Tone Radio-Tz RFA maslahi hakuna aisee, yupo huko na kidbway na wengineo kutokea Kiss FM
Sky walker, namkumbuka tangu akisoma Musoma tech, halafu akaanza kutangaza Victoria FM- Musoma ndipo badae akaenda RFA. Jamaa anakipaji kikubwa sana cha utangazaji.
God bless u wherever ur!
Hatangazi redio yoyote sasa ila anafanya kazi bongo 5 media! Nenda insta andika SkyTanzania utamuonahuenda we mkweli ila ningependa yahya m,tupo naye jamvini ndo angetueleza mwenzake huyu yuko wapi?pamoja na sandle geogre mpanda me nachokifahamu ndicho nimeandika katika jamvi...huenda na we pia umeandika vile unafahamu nyc