Fred Mpendazoe yupo SNV kama senior Advisor -WASH na anachapa kazi. Ni mwanachama hai wa Chadema. Kwa tetesi nilizo nazo atagombea nafasi ya makamu mwenyekiti kwenye uchaguzi wa ndani mwaka 2014.
Jamaa yupo na mkataba na kampuni moja ya wazungu na ktk mkataba wake ilikuwa ni kuepuka siasa public kipindi cha mkataba. Sasa sijui anafanya nini kukiimarisha chama?
Sasa aongee nini yeye sio kiongozi CDM kaajiriwa huo muda wa kupiga blah blah blah atautoa wapi?Huwezi tumikia mabwana 2 ajira na siasa.Labda Nape anaweza..............
Jana niliuliza mpendazoe bado ni mwanachama Wa chadema? nikashangaa ile post Leo siioni kuna mtu mwingine ameleta hii sio mbaya kama yupo SNV bado chadema? Mana kwenye mikutano ya kuimarisha chama sijawahi kumsikia au ndo wale wale mamluki??? Kazi maalum?????
Jana niliuliza mpendazoe bado ni mwanachama Wa chadema? nikashangaa ile post Leo siioni kuna mtu mwingine ameleta hii sio mbaya kama yupo SNV bado chadema? Mana kwenye mikutano ya kuimarisha chama sijawahi kumsikia au ndo wale wale mamluki??? Kazi maalum?????