Yuko wapi EDWARD OYOMBE AYILA?

Yuko wapi EDWARD OYOMBE AYILA?

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Huyu amewahi kuwa mbuge wa Tarime kabla haijagawanywa na kuwa Tarime na Rorya. Kwa sasa simsikii kabisa sijui yuko wapi. Je, ni mzima ama alisha dead?
 
Huyu mtu hata mie nashindwa kuelewa sijui ni kufirisika ki siasa ama yuko wapi. Halafu hata Pro. Phelimon Sarungi naye simsikii sijui amezama wapi.
 
Oyombe Ayila yuko nyumbani kwake kijiji cha KOWAK - DUDU, Rorya.
Analima zao la Mihogo (Ndiare/Marieba).
 
Oyombe hakuwa na shule na wala siyo siyo mfanyabihashara kama wenzake utamsikia wap kama siyo kulima afu ubunge alipata kwa bahat bahat tu na alifanya 0 rorya akaua na kiwanda cha Utegi .....aishie mbali uyo
 
Oyombe hakuwa na shule na wala siyo siyo mfanyabihashara kama wenzake utamsikia wap kama siyo kulima afu ubunge alipata kwa bahat bahat tu na alifanya 0 rorya akaua na kiwanda cha Utegi .....aishie mbali uyo

Ni kweli kabisa mkuu alifanya minus enzi za ubunge wake na wizi wa ng'ombe ulikuwa mkubwa sana.
 
Mzee Edward Oyombe Ayilla amefariki katika Hospital ya Bugando siku ya jumapili Tar21/01/2018..alipokuwa akiendelea na matibabu...Pumzika kwa Amani Mzee wetu
 
Back
Top Bottom