Wakuu ndodi yupo, anasali kurasin SDA,mwezi 1 uliopita wakat wasabato wanaendesha mahubr ya Big cities yy alikuwa na mkutano biafra..
kimsingi bado anaendelea na kazi yake ya tiba asili, amejijenga sana kanda ya ziwa hasa mkoa wa geita, anapatikana mwembe chai.