Hilo tena WCB limekuwa kama jalala.WCB walimrubuni kijana wakati yupo kwa kiba wakamwambie akitoka kule atasainiwa WCB akaleta vurugu akatoka ila mambo yakawa tofauti wakaishia kufanya collabo na romy Jones tu
Naupenda sn huu wimbo wake, aliimba haswaHabari Wana bodi,
Maisha ni watu na bila watu hakuna maisha,lazima watu waongelewe,wajadiliwe ndiyo maisha yenyewe. Ukiwa Famous, super star,n.k lazima utajadiliwa lakini Kuna watu humu utasikia wakihoji eti kwanini unamjadili mtu,sijui ni kukosa kazi za kufanya,
Baraka rudi kwenye gemu mdogo wangu, wengine hatuwezi kusikiliza sandakalawe.
Wajeuri sn hlf, japo wanajua sn na wana vipaji haswaaBaraka na Ruby watu walishawakataa kabisa.
Wacha bhanaAlhamudulillah!!! Sasa ni mwalim wa Madrasa.
TakbiiiiiirAlhamudulillah!!! Sasa ni mwalim wa Madrasa.
Alibadili dini kwajili ya mbususu ya kishua, na bado akapigwa chini…. haya maisha haya..!!