usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,869
Aiseeee! Huyu mwanadada alikua amefit sana pale kwenye planet bongo, alikuwa anaipatia vizuri sana akiwa na Dulla lakini nimeshangaa Juzi nasikiliza tena online mara nakutana na jamaa mwingne sijui ndo anaitwa Junior jr, anaboa kichizi kwenye hicho kipindi sijui ipi nini wanawakosea hawa wafanyakazi wao sjui ni mshahara sijui ni ubaguzi ama?