🤣🤣🤣🤣wewe utaisaidia mahakama, unaonekana unajua mambo mengi.
🤣🤣🤣🤣wewe utaisaidia mahakama, unaonekana unajua mambo mengi.
Umesoma thread vizuri ukaielewa mkuu?, naona kama umekurupuka hivi.Hii nchi bana yeye ni mtumishi kwamba hawezi kua likizo kwa mujibu wa sheria?
Halafu hii tabia ya mtu kupigwa na mwanaume mwenzio hii imekaaje, unashindwa kuokota hata mawe,
1.Mbasha alipigwa mtama na huyu jamaa
2.Q chief naye ..........
Hawa wanaopigwa wapunguze uboya
Halafu hii tabia ya mtu kupigwa na mwanaume mwenzio hii imekaaje, unashindwa kuokota hata mawe,
1.Mbasha alipigwa mtama na huyu jamaa
2.Q chief naye ..........
Hawa wanaopigwa wapunguze uboya
lini?wewe utaisaidia mahakama, unaonekana unajua mambo mengi.
Wewe ndo hukuelewaUmesoma thread vizuri ukaielewa mkuu?, naona kama umekurupuka hivi.