yuko njia panda

yuko njia panda

Eversmilin Gal

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
778
Reaction score
270
Wapendwa za asubuhi,
Kuna mama mmoja ni rafiki yangu kaniomba mchango wangu,ana Binti yake. Tumpe jina (Isha)ambaye ni mwalimu wa sekondari huko mkoani katika pitapita zake wakatokea kupendana na mwalimu mwenzake FRED lakini wa shule tofauti,ila yule mwenzie Fred ni mdogo kuliko Isha miaka mitatu nyuma ,isha amekua akimfuatilia Fred kwa kariBu ni mkarimu na anamjali ana roho nzuri,ila wakienda sehemu Fred lazima abaki nyuma lakini nyumBani ni mtu mzuri,akakutana na baba mmoja akamwambia mi nimekufatilieni sana na huyo mwenzako ila niamini ctaki kukuchezea nilishazunguka na ulimwengu hamna ambacho nisichokijua ntakupenda ntakujengea nyumba kwa sabaBu huyo baba ana watoto wake na Isha amekiri kweli anadeka kama mtoto kwa huyo Baba ,ila kinachomuuma Ni kuachana na fred ambaye isha anadai ni mkarimu na ana roho nzuri,afanye nini naombe utoe mchango wako
 
unataka tumwambie afanye buzness na huyo mzee?!!
 
Cyo business ila huyo baba anampenda na ameahidi kumtunza na yuko tayari Aende kwa wazazi
 
wewe muambie yeye awena huyo baba.
Baadae atawapata wakina furedi wengi sana.
 
mimi naona hao wote hawamfai
fred ni mdogo kwake na hana confidence ya kutembea nae kama huna raha na mahusiano yako ,hujiamini hapo hakuna upendo wa kweli
na huyo baba nae hampendi yupo kimaslahi tu
asubiri tu atakaekuja maybe atakuwa na combination ya missing items!
 
ahaaaa yaani mpenzi wangu ni mzuri kama mimi...nipe no ya muna anipe mkorogo basi


munaa yeye hawezi taka ongea na wewe maana huna hela.
Na munaa yeye hawezi kupa mukorogo kopo 120,000
 
mimi naona hao wote hawamfai
fred ni mdogo kwake na hana confidence ya kutembea nae kama huna raha na mahusiano yako ,hujiamini hapo hakuna upendo wa kweli
na huyo baba nae hampendi yupo kimaslahi tu
asubiri tu atakaekuja maybe atakuwa na combination ya missing items!

huyo Baba anmpenda na anataka amuoe kwa hiyo cyo kimaslahi amechoka upweke
 
Back
Top Bottom