Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Jamani nchi kweli imekuwa kimya. Baada ya mbwembwe na shughuli nyingi kwenye awamu ya kwanza, mama Salma Kikwete hasikiki tena. Hata siku ya wanawake tarehe 8 March 2011 hakuonekana wala kusikika. Yuko wapi huyu mama? Kuna tatizo?:gossip: