Mwasumbuko hakuwa na wito wa kutumikia wananchi. Alitumwa na tumbo kutafuta maslahi. Kama angekuwa mpiganaji asingesalimu amri mapema hivyo.
Kama ilivyo kwa wasaliti, hakuaminika alikojipeleka, CCM.
Mwasumbuko hakuwa na wito wa kutumikia wananchi. Alitumwa na tumbo kutafuta maslahi. Kama angekuwa mpiganaji asingesalimu amri mapema hivyo.
Kama ilivyo kwa wasaliti, hakuaminika alikojipeleka, CCM.
Ntajie Hapa mpinzani asiyetumikia tumbo lake ndugu yangu. Acha Utoto waangalie watu Kwa jicho la sita. Tz yetu Hii. Bado mandhani chama Ndo issue. Shida nchi yetu ni Viongozi wathubutu na wananchi mazwazwa wasiopenda kujishughulisha na kukaa Kama wewe kupiga majungu tu nyuma ya keypad. Hamna lolote