VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Ni muda sasa mkuu Baba V hajaonekana jukwaa hili na mengineyo. Yuko wapi mwanachama huyu? Kwa mwenye taarifa zake atufahamishe.
Karibuni jukwaa la siasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Huenda ni majukum yameongezeka unawezakuta kaongeza mke maana huwa hamkawii na watoto wameongezeka na wajukuu hapohapo nyumbani halafu mshahara uleule lazima mtu asionekane jf,
Mwanaume kumuulizia mwanaume mwenzie inanipa shida sana na ukizingatia hamjuani
Umejuaje? Hahahahahaaaaa we acha tu.
Amehamia ACT amepewa ujumbe wa cc
Acha wahame maana hao wana uchu na madaraka