Youtubers tukutane hapa

nahitaji kufungua youtube ac ambayo nitakuwa naupload content za highlights za EPL(football)

yoyote mwenye ujuzi?nianzaje?
Kuna jamaa zangu kadhaa wanafanya hiyo kitu.

Ila mara nyingi wanaambulia copyright strike mwishowe kufungiwa channel zao

Na kindi cha nyuma kidogo kulikuwa na hela nzuri lakn saizi wamepunguza mbumba.

Kama unataka kufanya ww fanya ila hakikisha unakuwa na walau channel mbili, hizo highlights kublockiwa ni suala la sekunde.
 
Mmesahau kututajis vifaa mnavyotumia kurekodi background audio kwenye videos zenu!!.
 
nahitaji kufungua youtube ac ambayo nitakuwa naupload content za highlights za EPL(football)

yoyote mwenye ujuzi?nianzaje?
Hapo mkuu inawezekana lakini ujitahidi kua mbunifu wa video hizo pamoja na sauti ili kuepuka copyright claim za highlights zako
 
Shukurani mkuu lakini kupata subscribers YouTube inatakiwa pia uwatafute kuanzia unao kaa nao
 
Shukurani mkuu lakini kupata subscribers YouTube inatakiwa pia uwatafute kuanzia unao kaa nao
Mm binafsi sijawahi fanya hivyo kuwa tafuta.
Coz wale wa kuwatafuta unakuwa Kama vile unawaomba na sio kwa sababu wamependa unachofanya ndio maana utakuta unao subscribe wengi ila views wachache

Hiyo itaonesha jinsi gani hawakupenda unachofanya bali walisubscribe kwa sababu ww ni jamaa/rafiki yao na uliomba wafanye hivo.but ukifanya kitu kizuri na chenye muendelezo wala hauitaji kuanza na unaokaanao mm hata alama au maandishi sijui Naomba msubscribe huwa siweki lkn naona subscribe wanapanda kila siku.
 
Jambo la msingi aondoe kabisa soundtracks zao, aweke za kwake.

Mostly, Copyright issues wanakudakia kwenye sounds.
 
Mimi leo nimeupload nonstop yangu ya bongoflava okdakool youtube..ambayo nimeimix mwenyewe lakini wameitoa nakusema kuwa kuna content za ngomma vas..sijaelewa kabisa
Ngomma ni Kampuni ya Kenya. Hizo video ulizoweka itakuwa wao ndio wanazimiliki.

Ni copyright issues
 
Jambo la msingi aondoe kabisa soundtracks zao, aweke za kwake.

Mostly, Copyright issues wanakudakia kwenye sounds.
Kweli mkuu hata mimi walinitumia copyright claim ila nilivyo badili sound nili uploud vizuri aisee
 
Vip kuhusu 4000 watching time ilikupata adsense
 
Wakuu natafuta software isiyotumia nguvu nyingi kwa ajili ya kuandaa audio visual with texts . yaani YouTube video ambayo ni mchanganyiko wa Picha na Maneno tu bila Mimi kujirecord video.msaada yutubaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…