Hii nchi tuna safari ndefu sana ya kuelekea ktk maendeleo,kwa ishu muhimu kama hii na unyeti wa taasisi walitakiwa wawe na page maalumu ambayo wataalamu wao wawe wanajibu maswali mbalimbali kama haya.Hivi wanategemea wote tukienda pale ofisini patatosha?.