Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Mpendwa Yamour Baada ya heshima na Taadhima, Niwe na Furaha kukujuza kuwa Neno Mujahidin linatokana na neon Jitihada/Kujitahidi (struggle/survival) katika jambo lolote, iwe masomo, Kazi,ufundi,utafiti,ukulima,mchezo,nk,nk (yaani struggling to gain position/something) ili ufanikiwe maishani inakubidi ujitahidi ndipo waitwa Mujahidi!! Na siyo kama wanavyo tafsiri walimwengu "(akutukanie hakuchaagulii tusi) " So hata mwenye kuishi katika kambi ya ukimbizi utakuta anajitahidi ili ajigomboe ktk hali na mali !! Nahilo siyo kitu cha kupewa kwa urahisi. Haswa ukisuhudia aFalestina wengi wapo ndani ya Occupied lands au camps....!! Karibuni waaungwa kawa suali au maelezo au INFO 2013 BIGURUBE lyinga incharge Gama,Chuma cha reli, utafiti, mbwewe, lukubuzo SamsisMujahidin maana ake nin!?, hemu nifahamishe umeniacha
Last edited by a moderator: