Stayle ya Young Killer ni kama ya rappers wengine tu isipokuwa ana kasauti fulani ka-kitoto kanakoongeza fleva, katapotea akiwa mkubwa, ila yuko poa sababu ana vimashairi fulani hivi vya Stamina!! Wakati Young D, style yake ni yake, hamna rapper wa bongo anarap ka yeye. Pia ana mashairi, hivyo kwa mimi, Kajunjumele wa soko matola nampa A+, wakati msodoki wa mwanza nampa B+