Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,046
- 11,626
Na bado kwenye ufunguzi wa ligi hatutawaacha mpaka maji muite MMA.Haya bana.
Na bado kwenye ufunguzi wa ligi hatutawaacha mpaka maji muite MMA.Haya bana.
Yaani umeshasahau vile ilikuwa msimu ulopita?Na bado kwenye ufunguzi wa ligi hatutawaacha mpaka maji muite MMA.
Mwisho wa msimu huu ndio ubingwa mlioupata.Yaani umeshasahau vile ilikuwa msimu ulopita?
Mtani unateseka ukiwa wapi kwani? 🤣🤣🤣Mwisho wa msimu huu ndio ubingwa mlioupata.View attachment 1869971
Msamehe bure,nadhani alitembea na mechi ilopita kabla ya hii ya juzi mana Boco alimchezea rafu mbaya sana kwenye ule mchezo,so kibinadamu lazima uwaze Mara mbilimbili iweje mchezaji mwenzako atake kukuvunja? Kibinadamu haiwezi kuwa rahisi japo hakupaswa kufanya kama alivyofanyaMukoko amejua sana kunikera aisee.
Nimeshamsamehe bro.Msamehe bure,nadhani alitembea na mechi ilopita kabla ya hii ya juzi mana Boco alimchezea rafu mbaya sana kwenye ule mchezo,so kibinadamu lazima uwaze Mara mbilimbili iweje mchezaji mwenzako atake kukuvunja? Kibinadamu haiwezi kuwa rahisi japo hakupaswa kufanya kama alivyofanya
Yanga imesajili wachezaji wangapi na kina nani??Tumchukue Haji Manara HM aje kuwa msemaji wetu, huyu Nugaz Analia lia tu..
Tutafanya "usajili wa kutisha" mda wowote na kabla msimu haujaanza. Sisi ndio timu bora kipenzi cha wananchi.Yanga imesajili wachezaji wangapi na kina nani??
Usajili uko 90%, nyota wapya kuonekana kagame cupTutafanya "usajili wa kutisha" mda wowote na kabla msimu haujaanza. Sisi ndio timu bora kipenzi cha wananchi.
Sawa ollachugaTutafanya "usajili wa kutisha" mda wowote na kabla msimu haujaanza. Sisi ndio timu bora kipenzi cha wananchi.
Hehehe ngoja nitarudi humuSawa ollachuga