babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,841
- 6,546
Hongera zaidi kwa KariaSawa. H o n g e r a.
Hatimaye Bingwa bandia kapatikana.
Hongera zaidi kwa KariaSawa. H o n g e r a.
Hatimaye Bingwa bandia kapatikana.
Kabisaa!! Faida yake tumeiona.Hongera zaidi kwa Karia
Kule Uingereza kuna kautaratibu kao kazuri ningependa Bongo tukaige. Bingwa wa nchi anapopatikana kabda ya ligi kuisha inabidi kwenye mechi zinazofuata timu zote inazocheza nazo zijipange mistari miwili huku zukiipigia magofi Machapioni kabda ya mechi kuanza.
Pooole mamii, pole sana aisee Shadeeya, polee😀😀😀Mwaka huu hatunywi maji.
Huku 5imba
Kule Liverpool mbona mnatukomesha. Lol
Huko umeshasema ni Uingereza Ses.Kule Uingereza kuna kautaratibu kao kazuri ningependa Bongo tukaige. Bingwa wa nchi anapopatikana kabda ya ligi kuisha inabidi kwenye mechi zinazofuata timu zote inazocheza nazo zijipange mistari miwili huku zukiipigia magofi Machapioni kabda ya mechi kuanza.
Chura FC hebu simameni kwa heshima na mtupigie makofi tafadhali😂😂😂
😍😍😍Pooole mamii, pole sana aisee Shadeeya, polee😀😀😀
Mazuri huigwa Shadeeya. We huoni kama ubingwa wetu ni matokeo ya juhudi zetu, uwekezaji wetu, usajili makini, utaalam uliotukuka ndani na nje ya uwanjaHuko umeshasema ni Uingereza Ses.
Nani asimame kwa bingwa gani basi. Chhhaaaaaaa.
huo utaratibu hapa upo pia, mechi inayofuata lazima afanyiwe hivyo, ni mechi moja sio zoteHuko umeshasema ni Uingereza Ses.
Nani asimame kwa bingwa gani basi. Chhhaaaaaaa.
Oooh. Sawa.huo utaratibu hapa upo pia, mechi inayofuata lazima afanyiwe hivyo, ni mechi moja sio zote
Aah. WapppiiMazuri huigwa Shadeeya. We huoni kama ubingwa wetu ni matokeo ya juhudi zetu, uwekezaji wetu, usajili makini, utaalam uliotukuka ndani na nje ya uwanja
Kwanza tulitarajia yule Profesa Msola, Mwakalebela, Nugaz na makocha wenu wawe watu wa mwanzo kabisa kutuma salamu za pongezi kwa Mabingwa wa Nchi hii.Aah. Wapppii
Sawa endeleeni kusubiri. 😀Kwanza tulitarajia yule Profesa Msola, Mwakalebela, Nugaz na makocha wenu wawe watu wa mwanzo kabisa kutuma salamu za pongezi kwa Mabingwa wa Nchi hii.
Watu wamenyakua ndoo mapemaaa mechi sita bado zipo mkononi, dogo hilo?!😀😂Sawa endeleeni kusubiri. 😀
Labda waende pale Karume. Kwani bingwa wa kweli ni TFFKule Uingereza kuna kautaratibu kao kazuri ningependa Bongo tukaige. Bingwa wa nchi anapopatikana kabda ya ligi kuisha inabidi kwenye mechi zinazofuata timu zote inazocheza nazo zijipange mistari miwili huku zukiipigia magofi Machapioni kabda ya mechi kuanza.
Chura FC hebu simameni kwa heshima na mtupigie makofi tafadhali