Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Aisee mwaka huu sijui majilani watasingizia nini?
IMG-20200222-WA0088.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli timu yetu inasikitisha sana, yaani kila match ni kama wanaenda uwanjani kukamilisha ratiba tu. Morali ya wachezaji wote hiko chini mno, nadhani kuna tatizo somewhere si Bure na viongozi wapo tu wala hakuna juhudi zozote za kujikwamua, kazi ni kina Nugaz kujimwambafy tu kwenye vyombo vya habari eti wape salaam, na salaam tumezipata kweli. USHAURI: Viongozi na bench LA ufundi mjitafakari, ninahisi viatu hivi vimewapwaya. Huyo NUGAZ aache mbwembwe na tambo za mitandaoni anajichoresha tu. Mnabowa sana, nakaribisha wa kunikosoa kakini huo ndiyo ukweli. Halafu hivi aliyemsajili Yikpe ni nani? Mungu anakuona aisee, hivi mlikosa washambuliaji hadi Yikpe anatufaa? Mbona kuna vijana wa hapahapa tu na ni wazuri tuu ambao tungewapata hata kwa gharama ndogo tu na matokeo tungepataa? Yanga tunakwama wapi?
 
Back
Top Bottom