Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
X-PIN,PAKAJIMMY,NGULI,CARMEL,BARBARITA,KAIZER,FL1,NEXT LEVEL,GKUNDI................!i am officially falling on your heads...!and this thread is for you guys.
YOU SHOULD HAVE TOLD ME JAMANI!KWANINI MLINITOSA?...i mean kwanin hamkunijuza kwamba the wedding thing is this much costly?...kwanini hamkunipa cost implications za harusi....?hakika mngenipa angalizo kwenye hili ''ningefikiria mara mbili'' juu ya maamuzi yangu,au pengine ningejipanga upya...
FIDEL80 NA JS...!hata kama ninyi ni ma super-bachelors kwamba mlikuwa hamujui?...sio inshu washkaji zangu,mngeniambia tu!...enewei..
BHT na ZD...!kwanin mliamua kuninyamazia kwenye hili?...mimi ningekuwa na gari yangu leo hii...poa tu mazee
MASANILO....!mwanawane umeniacha nimeangamia hivi hivi?....nimefulia kisa harusi?....poa tu mtu wangu
PRETTA,PRETTY,ANNINA,NANILIU,LILYFLOWER,SUGAR WA UKWELI,BABYLOVE.........!mmenitosa hivihivi.mngenitonya tu watu wangu mi ningejua itakuwaje,lakini poa tu
GEORGIEPORGIE...!dah!pamoja na lift zoote za tukutuku mbado uliamua kukaa kimya?.....dah haya bwana........
WATU WANGU MLIAMUA KUNIKAUKIA KWENYE HILI?......
....!i will never get married for the second time!...
DAMN COSTLY
YOU SHOULD HAVE TOLD ME JAMANI!KWANINI MLINITOSA?...i mean kwanin hamkunijuza kwamba the wedding thing is this much costly?...kwanini hamkunipa cost implications za harusi....?hakika mngenipa angalizo kwenye hili ''ningefikiria mara mbili'' juu ya maamuzi yangu,au pengine ningejipanga upya...
FIDEL80 NA JS...!hata kama ninyi ni ma super-bachelors kwamba mlikuwa hamujui?...sio inshu washkaji zangu,mngeniambia tu!...enewei..
BHT na ZD...!kwanin mliamua kuninyamazia kwenye hili?...mimi ningekuwa na gari yangu leo hii...poa tu mazee
MASANILO....!mwanawane umeniacha nimeangamia hivi hivi?....nimefulia kisa harusi?....poa tu mtu wangu
PRETTA,PRETTY,ANNINA,NANILIU,LILYFLOWER,SUGAR WA UKWELI,BABYLOVE.........!mmenitosa hivihivi.mngenitonya tu watu wangu mi ningejua itakuwaje,lakini poa tu
GEORGIEPORGIE...!dah!pamoja na lift zoote za tukutuku mbado uliamua kukaa kimya?.....dah haya bwana........
WATU WANGU MLIAMUA KUNIKAUKIA KWENYE HILI?......
....!i will never get married for the second time!...
DAMN COSTLY