Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,323
- 17,826
....mweh!
masikini geoff mimi...mweh!
ningejua kwamba ni lazima nispend kiasi hichi.....!eeh!
enewei,I DON'T REGRET
sasa funga sredi mpwa tukale makange! lol
....mweh!
masikini geoff mimi...mweh!
ningejua kwamba ni lazima nispend kiasi hichi.....!eeh!
enewei,I DON'T REGRET
sasa mpwa kwanin hamkuni-alert?...........mimi ndio kilio changu
eeh!riba zenu sasa.....
yaaaaaah!nafahamu kwa mbaaaali!
hebu shuka daataaaz
hapa nimeshakamilisha asilimia 99 ya mambo yote..!nimekaa nakufanya tathmini nimegundua PESA IMENITOKA!..tena mingi tu!sasa najiuliza kwanini sikulijua hilo?Kifupi inabidi u forego hizo gharama na mazaga zaga yote yanayohusu maandalizi for the SAKE of our mshiki! Umenisoma? So ili umpate huna budi kukubali hizo gharama, and thats the OC ya kumpata mkeo unayesema kuwa UNAMPENDA.
sasa kazi kwako nadhani umekubaliana na hiyo OC,,
hapa nimeshakamilisha asilimia 99 ya mambo yote..!nimekaa nakufanya tathmini nimegundua PESA IMENITOKA!..tena mingi tu!sasa najiuliza kwanini sikulijua hilo?
nimekugongea senksi mama!UKWELI MTUPU
thanks pal!Geoff kwa wakiristo wanaolewa au kuona mara moja for file time other wise unless,so tukio la harusi ni tukio muhimu sana kwa maisha yako yote may be halitajirudia tena,hivyo basi kwa gharama yoyote lazima tukio lipendeze kama nilivyosema hapo mwanzo ni la moja kwa maisha yako yote,ukubwa wa gharama zisikuumize kichwa kwani unafanya kitu cha maana sana!!!!