Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
- Thread starter
- #61
Mkuu Bigirita ; marangu kumbe wanayo ANNEX?
De novothanks MJ kwa kufurahi na sisi, it was nice having you around and i am sure mtaalam wa mistari ya mapenzi kamanda wangu MJ1 atakuja na verse kama tatu hivi halafu ntamwaga chorus mkuu
Wape hi u
Yeah! ipo, lakini siyo ya Marangu bana.....ila huduma ya mbuzi original kutokea rombo wanapatikana!Mkuu Bigirita ; marangu kumbe wanayo ANNEX?
By the way nimeanza mafunzo ya Judo chini ya mwalimu Jack Chain........
Will definitely do that rafikiukisha-graduate unishtie nikupe zawadi ya pingu.
Nice to know you are back and good!
I know......we had to control Teamo and De Novo.........they had it in their throat like poisonous black cobra.Will definitely do that rafiki
Yeah niko poa kiasi chake ingawa bado si unajua tena.............haikuwa gharika ndogo
Hahahahaha! Washikiz for wapwaaaz!!!!!!!!!! Noted with many thanks!!
hapana nimezibeba nije nimwonyeshe mshikiz huku kama ushahidi!
thanks MJ kwa kufurahi na sisi, it was nice having you around and i am sure mtaalam wa mistari ya mapenzi kamanda wangu MJ1 atakuja na verse kama tatu hivi halafu ntamwaga chorus mkuu
Wape hi u
De novo
Unataka shairi juu ya nini tena best? Maana ya kuvua pendo tayari naogopa nisijeharibu mazima.
MJ kaka pole kwa mapokezi nusu ambayo tulikupatia but tunashukuru MUNGU wote wazima and naamini next time ya siku nyingine mambo yatakuwa ok.
By the way nimeanza mafunzo ya Judo chini ya mwalimu Jack Chain........
btw hebu mwambie hommie wangu kaizer a do the needful hapo, siku tukija kula mbuzi na wabunge tupate mapokezi ya kueleweka.
I know......we had to control Teamo and De Novo.........they had it in their throat like poisonous black cobra.