Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
sijakuona siku nyingi!!!!!!!!!!!! na wewe una-cheatia kwa wapi??
huyoni marangu gesti hauz ooops night park B!
sijakuona siku nyingi!!!!!!!!!!!! na wewe una-cheatia kwa wapi??
alikuwa biz ana-cheat
Wonderful !Kumbe umeingia kwenye Jiji bila taarifa ..next time utakuwa under arrest ....
Kumbe ndo zake leo nimejua Kaizer kwa nini wanifanyia hivyo lakini au ndo distansi rileshenishipu huwezi...........????
huyoni marangu gesti hauz ooops night park B!
Kumbe ndo zake leo nimejua Kaizer kwa nini wanifanyia hivyo lakini au ndo distansi rileshenishipu huwezi...........????
sasa information reliable unazitoaga wapi lakini Js wangu....huyo sio reliable ndo nimemwambia kabisaa apo juu asije kuharibu jumla! si wajua maji ya moto hayachomi nyumba lakini yanaunguza mtu! ebu twenzetu siku imeisha kwanza.....
Haya mpenzi leo wapi tunaenda kule kule tulikokutana mara ya mwisho??
Please explain!! kabla sija do the same kwenye red na wewesijakuona siku nyingi!!!!!!!!!!!! na wewe una-cheatia kwa wapi??
JS hizo haziwekigi outi!!
Kila siku mwenzio chako ni chako pale anachiti tu ila sisemi na nani
Leo nakufanyia suprise, kule kwa mara ya mwisho kuna mtu hapa alitupiga chabo....leo matawi ya juu......jiandae kabisa nitakudip!
Sijaona hii post mimi!Leo nakufanyia suprise, kule kwa mara ya mwisho kuna mtu hapa alitupiga chabo....leo matawi ya juu......jiandae kabisa nitakudip!
Please explain!! kabla sija do the same kwenye red na wewe
Bht ukisema haziweki out aina hizo mapenzi naumia roho mwenzio sijui umenipata hapo!!!
you talking to me FL1? au najihisi tu?:ear:
Kempisky??? utasikia, chaaa! si afadhali hii hela nikanunue nguruwe watano nipeleke kule shamba!!Matawi ya juu ya wapi Kempinski????ahahahahaha
Wonderful !Kumbe umeingia kwenye Jiji bila taarifa ..next time utakuwa under arrest ....
Hahahahaa!!! zile valuu je??
Wonderful !Kumbe umeingia kwenye Jiji bila taarifa ..next time utakuwa under arrest ....