You have not secured a loan!

You have not secured a loan!

COBOL

Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
98
Reaction score
227
Dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya HESLB, Nikakuta maneno "You have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "Reason", "Institute", "Full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

NOTE: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "Non Priority".
 
Dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya HESLB, Nikakuta maneno "You have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "Reason", "Institute", "Full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

NOTE: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "Non Priority".
Aise nami namajanga hayo hayo ila course nloomba ina priority
 
Ushauri wangu kama una ada ya kuanzia nenda kaanze tuu....mkopo unaweza ukatoka but sio leo wala kesho...bado nchi haijatulia hii kiutendaji
 
Kama uwezo wa kulipia ada na gharama za masomo huna, ahirisha mwaka huu, kisha baadae mwakani omba coz yenye prioroty utapata
 
dah, hofu yangu kubwa imekuwa confirmed. Nilifanikiwa kuingia kwenye profile yangu ya heslb, nikakuta maneno "you have not secured a loan" yapo pale. Ile kurasa ilikua na sehemu ambazo hazina info yeyote mfano, "reason", "institute", "full name". Sasa sijui hili ni tatizo na mtandao wao? Kama si tatizo, na ikawa kuwa ni kweli nimekosa mkopo, kuna uwezekano wa kuappeal nikapata walau 0%?

Kama haiwezekani au inawezekana, basi toa ushauri wako ili kwa wale wenzangu ambao wote tumekumbwa na hili tujue cha kufanya.

Note: Ijulikane kuwa course niliyoweka ilikua ni "non priority".




hapa kazi tuu!!!!
 
Kama una kiasi cha kuanzia unaweza kuendelea huku ukiwa ume appeal.Applied geology huwa ina priority mbona
 
pole sana. omba mungu akusadie sn.. kwasababu uwezekano wa kupata mkopo tena huna
hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom