You enjoy the distance or you’re just coping?

You enjoy the distance or you’re just coping?

Na hapa umepita kwenye uzi kwa hiari yako baadae utaenda kujilalamisha kua watu wanaongelea mapenzi tu hakuna kingine
Ngoja niangalie kwanza mach.
Sasa kazi ninayowapa ni muiombee mamelody anyanyue kwapa.
Mkiona kashinda farabat.. Siyo tu kulalamika, nitawachukia pia.
 
Tayari nina mke, tupo miko tofauti tu, ngoja nilisafirie, niende kulala nyuma ya matako walau mwezi hivi akili ikae sawa
Kijana wa hovyo unasafiri kufata makalio😅
Huna kamchepko huko😉
 
Back
Top Bottom