secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,474
- 43,902
❤️🥰😋.Sawa sina namna
❤️🥰😋.Sawa sina namna
Tayari nina mke, tupo miko tofauti tu, ngoja nilisafirie, niende kulala nyuma ya matako walau mwezi hivi akili ikae sawaKwahiyo unataka ulale nyuma ya makalio daily tena makalio mnyumbuliko 🤣🤣 basi oaaa kijana
Ngoja niangalie kwanza mach.Na hapa umepita kwenye uzi kwa hiari yako baadae utaenda kujilalamisha kua watu wanaongelea mapenzi tu hakuna kingine
Nashukuru, endelea kuniheshimu 🤣😂Hivi wewe makaveli10 🤣🤣 ujue nilikua nakuheshimu sana
Kijana wa hovyo unasafiri kufata makalio😅Tayari nina mke, tupo miko tofauti tu, ngoja nilisafirie, niende kulala nyuma ya matako walau mwezi hivi akili ikae sawa
Utajua mwenyewe 😎Ngoja niangalie kwanza mach.
Sasa kazi ninayowapa ni muiombee mamelody anyanyue kwapa.
Mkiona kashinda farabat.. Siyo tu kulalamika, nitawachukia pia.
Hakuna sitaki tenaNashukuru, endelea kuniheshimu 🤣😂
La wife ni la wife tu...Kijana wa hovyo unasafiri kufata makalio😅
Huna kamchepko huko😉
Kosa langu nink, nimekosea wapi?Hakuna sitaki tena
MashaAllah 🔥🔥La wife ni la wife tu...
Nyongeza, kwa sasa sina kabisa mchepuko...
Sitaki tuKosa langu nink, nimekosea wapi?
Nimestarabika.MashaAllah 🔥🔥
Shetani akizeeka huitwa malaika
Aahh, kwa kuwa ni hutaki tu, basi siwezi kukushikia bundukiSitaki tu
HaleluyaaaNimestarabika.
Shetani akipita, teke teke teke, tupa kule.Haleluyaaa
Yes namna hiiAahh, kwa kuwa ni hutaki tu, basi siwezi kukushikia bunduki
🤣
Teke kuleeeeee fire 🔥Shetani akipita, teke teke teke, tupa kule.
Haleluya amin..
Shetani akipita .................
Muite "bosi tumbo"Yes namna hii
😂🤣🤣Teke kuleeeeee fire 🔥
Na wewe upo kama huyoMuite "bosi tumbo"