cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 499
- Thread starter
-
- #21
ila sijui kwa nini wanawake hawapendi financial independence kwa kweli! imefika wakati mtoto wa kike akisema nataka kuleta mchumba,mamake amuulize una tembo card master card? manake inahuu vibaya sana!
afu miwanawake kama hii hata ukimpa mchongo wa kazi anabinjua pua 'mme wangu hapendi, ama siwezi'. damnit!
</p>
<p> </p>
wifi taratiibu somo linaingia. tena aseme dr kasema anataka ka-rav 4 (apate kianzio,lol)
</p>
<p> </p>
Nashanga, wakati anamchumbia hakuliona hiloHuyo bwana ameshamchoka long time hapo anapotezea
anataka aongeze makalio......kesho atamwambia makalio yamezidi ongeza miguu
mwishowe atakuwa amesambaratika kila mahali bora kusepa mapema
Aiseeee....kama hatanii basi kazi anayo.
Ndo matatizo ya kuolewa ili upate kula...mume mwenyewe anajua mke hana ujanja...mke nae ndo huyo anakubali kuangukia pua.Achukue hizo laki mbili alafu arudi kumwambia kaambiwa kuna dawa inayofanya kazi instantly ila ni ghali kidogo kwahiyo aongeze kilo kadhaa...then achukue hizo pesa akaanzishe hata kabiashara kake ka mitumba aanza maisha yake mwenyewe.
Nimeipenda hii Lizzy, kweli wewe wanyumbani kwetu kule kwa akina manka.
Code:naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje na zinaitwaje wala msitaje majina yenu ,nielekezeni tu ili niinusuru ndoa yangu maana mo mpaka sasa sijapata hata kazi huyu mume wangu ndio kila kitu kwangu nisaidieni jamani
kwani ka kwambia ya kuwa utaachika au ni wasiwasi wako? Vyema akuache utapata bora zaidi ya huyo humu humu jamvini......mpige kibuti ashike adabu yake.............kama anayo........................kama hana ashike masikio yake.............kama anayo na kama hana........
- 😛ound:
Pole sana dada.naomba msaada kwa wadau na kwako zeze pia, mimi ni mwanamke ,niliye katika ndoa kwa miaka 6 sasa, na nimebahatika kupata watoto 2 tayari. ila nina tatizo kubwa saana kwenye ndoa yangu, kutokana na kwamba mume wangu amekuwa limbukeni saana wa ,wanawake wa nje wenye makalio makubwa kiasi kwamba mara kwa mara nimekuwa nikimfumania na wanawake wa aina hiyo, lakini aliponichumbia na kunioa alijua kabisaa kuwa mimi nina umbo la kawaida lakini ghafla alianza kunishawishi nitafute dawa za kuongeza makalio , kiukweli swala hili limekuwa gumu kwangu saana kutokana na maadili na malezi niliyokulia, ajabu juzi nimemfuma tena na mwanamke mwenye makalio na jibu alilonipa mi mwenyewe nilichoka kwani aliniambia chukua hizi laki 2, nifanye juu chini nipate dawa za kuongeza makalio...na kama makalio yangu hayataongezeka kwa miezi miwili basi nijiandae kumpokea mke mwenzangu. shamim nampenda saana mume wangu siko tayari kabisa kuachwa mungu atanisamehe naomba jamani mnielekeze hizo dawa nitazipataje na zinaitwaje wala msitaje majina yenu ,nielekezeni tu ili niinusuru ndoa yangu maana mo mpaka sasa sijapata hata kazi huyu mume wangu ndio kila kitu kwangu
nisaidieni jamani
NB :NIMEIKUTA HII HABARI KWENYE BLOG YA 8020 NIKAONA NISHARE NA NYIE.
SIJAPATA KUONA MWANAMKE MGONJWA KAMA HUYU,AMENISIKITISHA SANA,YAANI SIAMIN KAMA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KURUHUSU VIDOLE VYAKE KUANDIKA KITU KAMA HICHI
naomba
msaada kwa wadau na kwako zeze pia, mimi ni mwanamke ,niliye katika
ndoa kwa miaka 6 sasa, na nimebahatika kupata watoto 2 tayari. ila nina
tatizo kubwa saana kwenye ndoa yangu, kutokana na kwamba mume wangu
amekuwa limbukeni saana wa ,wanawake wa nje wenye makalio makubwa kiasi
kwamba mara kwa mara nimekuwa nikimfumania na wanawake wa aina hiyo,
lakini aliponichumbia na kunioa alijua kabisaa kuwa mimi nina umbo la
kawaida lakini ghafla alianza kunishawishi nitafute dawa za kuongeza
makalio , kiukweli swala hili limekuwa gumu kwangu saana kutokana na
maadili na malezi niliyokulia, ajabu juzi nimemfuma tena na mwanamke
mwenye makalio na jibu alilonipa mi mwenyewe nilichoka kwani aliniambia
chukua hizi laki 2, nifanye juu chini nipate dawa za kuongeza
makalio...na kama makalio yangu hayataongezeka kwa miezi miwili basi
nijiandae kumpokea mke mwenzangu. shamim nampenda saana mume wangu
siko tayari kabisa kuachwa mungu atanisamehe naomba jamani mnielekeze
hizo dawa nitazipataje na zinaitwaje wala msitaje majina yenu
,nielekezeni tu ili niinusuru ndoa yangu maana mo mpaka sasa sijapata
hata kazi huyu mume wangu ndio kila kitu kwangu
nisaidieni jamani
NB :NIMEIKUTA HII
HABARI KWENYE BLOG YA 8020 NIKAONA NISHARE NA NYIE.
SIJAPATA KUONA MWANAMKE MGONJWA KAMA HUYU,AMENISIKITISHA SANA,YAANI
SIAMIN KAMA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KURUHUSU VIDOLE VYAKE
KUANDIKA KITU KAMA HICHI