You are blind. Though you don't want to admit

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,789
What is the difference between an Ordinary Thief (OT) and a Political Thief (PT)?

1. The Ordinary Thief steals your money, bag, watch, gold chain etc. But, The Political Thief steals your future, career, education, health and business!

2. The hilarious part is: The Ordinary Thief will choose whom to rob. But, you yourself choose the Political Thief to rob you.

3. The most ironic one: Police will chase and nab the Ordinary Thief. But, Police will look after and protect the Political Thief, That’s the travesty and irony of our current society. And, we blindly say we are not blind!

Too good not to share.
 
Naombeni tafsiri ya kiswahili nisipitwe.
NIMEIKUTA KWENYE PAGE YA BABA ASKOFU DR BENSON BAGONZA ALFAJIRI HII

FURAHA KAENDA WAPI?

Waliopiga kura hawana furaha

Waliosusa/suswa hawana furaha

Waliopita bila kupingwa hawana furaha

Waliosimamia kura hawana furaha

Walioshinda hawana furaha

Walioshindwa hawana furaha

Waliopanga yaliyotokea hawana furaha

Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha

Walioshauri hekima hawana furaha

Waliokaa kimya hawana furaha

Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaodhani wana furaha hawana furaha

Wapinzani hawana furaha
Wapinzani wa wapinzani, hawana furaha.

ILA wanaodhani hawana furaha, ni KWELI hawana furaha.

Ni bora kujiuliza huyu furaha yuko wapi?
 
NIMEIKUTA KWENYE PAGE YA BABA ASKOFU DR BENSON BAGONZA ALFAJIRI HII

FURAHA KAENDA WAPI?

Waliopiga kura hawana furaha

Waliosusa/suswa hawana furaha

Waliopita bila kupingwa hawana furaha

Waliosimamia kura hawana furaha

Walioshinda hawana furaha

Walioshindwa hawana furaha

Waliopanga yaliyotokea hawana furaha

Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha

Walioshauri hekima hawana furaha

Waliokaa kimya hawana furaha

Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaodhani wana furaha hawana furaha

Wapinzani hawana furaha
Wapinzani wa wapinzani, hawana furaha.

ILA wanaodhani hawana furaha, ni KWELI hawana furaha.

Ni bora kujiuliza huyu furaha yuko wapi?
Tukiridhika kutokuwa na Furaha, ndio Furaha yenyewe.
 
What is the difference between an Ordinary Thief (OT) and a Political Thief (PT)?

1. The Ordinary Thief steals your money, bag, watch, gold chain etc. But, The Political Thief steals your future, career, education, health and business!

2. The hilarious part is: The Ordinary Thief will choose whom to rob. But, you yourself choose the Political Thief to rob you.

3. The most ironic one: Police will chase and nab the Ordinary Thief. But, Police will look after and protect the Political Thief, That’s the travesty and irony of our current society. And, we blindly say we are not blind!

Too good not to share.
sheria kipofu
 
.
1_KInoj1DTHXXB6nHtGNOx3w.jpeg
 
NIMEIKUTA KWENYE PAGE YA BABA ASKOFU DR BENSON BAGONZA ALFAJIRI HII

FURAHA KAENDA WAPI?

Waliopiga kura hawana furaha

Waliosusa/suswa hawana furaha

Waliopita bila kupingwa hawana furaha

Waliosimamia kura hawana furaha

Walioshinda hawana furaha

Walioshindwa hawana furaha

Waliopanga yaliyotokea hawana furaha

Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha

Walioshauri hekima hawana furaha

Waliokaa kimya hawana furaha

Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaodhani wana furaha hawana furaha

Wapinzani hawana furaha
Wapinzani wa wapinzani, hawana furaha.

ILA wanaodhani hawana furaha, ni KWELI hawana furaha.

Ni bora kujiuliza huyu furaha yuko wapi?
Mkuu hapa ndo umetafsiri...??!!
 
Back
Top Bottom